Menu ›
Burudani
Thu, 9 Nov 2023
Chanzo: 74508734
Uchawa unalipa! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya chawa Baba Levo kununuliwa ndoinga mpya aina ya Harrier Lexus yenye thamani ya shilingi Mil. 42.
Baba Levo ameonesha gari hiyo na kusema gari hiyo mpaka kufika hivi sasa imetumia kiasi cha Milioni 42 na katika pesa hiyo Diamond Platnumz anahusika kwa kiwango kikubwa.
"Mimi nimeongezea kiasi kidogo sana, Diamond kamununulia mjukuu wake (mtoto wa Baba Levo) sasa niambie ni chawa gani ana gari kama hii?" alihoji Baba Levo.
Ikumbukwe hiyo ni Gari ya 5 Baba Levo anatamiza mpaka hivi sasa
Chanzo: 74508734