Menu ›
Burudani
Mon, 6 Mar 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Msanii Diamond Platnumz ameweka wazi mapenzi aliyonayo juu ya ngoma ya msanii Ali Kiba ambaye mara nyingi anatajwa kama mshindani wake kwenye muziki.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram Diamond Platnumz amepost kipande cha wimbo wa Kiba unaoitwa Asali na kuandika; "Favorite".
Mara kadhaa Diamond amekuwa akionesha kutokuwa na kinyongo na kushow love hadharani kumkubali Kiba, lakini mwamba huyo amekuwa mzito kumkubali mwenzake.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live