Menu ›
Burudani
Thu, 18 Jan 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Baada ya kuzagaa kwa taarifa kuwa Diamond ametangaza kuwa single, ghafla mwamba ameibuka na kukanusha.
Kupitia Insta Story yake, Diamond ameweka ujumbe huo;
"Niwajulishe tu kwamba suala la usingle limeshindikana hivyo naendelea kula raha hubani kwenye kisiwa na kitongoji kilekile cha karafuu...na wote mliokuwa mnashadadia poleni sana, siku nyingine acheni papara, mjifunze kusikiliza ata kidogo watu hawaachani...," aliandika Diamond.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live