Menu ›
Burudani
Wed, 4 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Msanii Diamond Platnumz amechaguliwa kuwania tuzo za MTV Europe Music Awards katika kipengele cha msanii bora Africa.
Kupitia ukurasa rasmi wa Instagram wa #Mtv wametoa taarifa hiyo kwa kuandika “pongezi nyingi kwa Diamond kwa kuteuliwa kuwania tuzo ya Best African Act.”
Huku katika kinyang’anyiro hicho wasanii wengine wanaowania katika nafasi hiyo ni #BurnaBoy, #Asake, #Libianca na #TylerICU.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live