Menu ›
Burudani
Thu, 9 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Baada ya mtandao wa @notjustok kutoa list ya nchi zinazo ongoza kuchukua Tuzo ya Grammy barani Africa huku South Africa wakiwa kileleni wakifatiwa na Benin Republic, Mali na Nigeria.
Diamond kupitia Insta story yake ameamua kuwaahidi mashabiki wa Mziki kutokea Tanzania Kuwa hivi karibuni na sisi Tanzania tutakuwa kwenye list hiyo.
Ikumbukwe Kuna kipengele ambacho kimeongezwa kwenye Tuzo za Grammy ambacho kipengele hicho kinausisha Mziki wa Bongo Fleva.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live