Menu ›
Burudani
Mon, 27 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Wasanii wa muziki nchini Diamond Platnumz, Zuchu wakigonga cheers na Zari akiwa na mume wake.
Wasanii wa muziki nchini Diamond Platnumz, Zuchu wakigonga cheers na Zari akiwa na mume wake. Wanne hao wamekutana nchini Afrika Kusini ambapo kwa siku ya jana Diamond alimfanyia Zuchu surprise kama zawadi ya kumbukizi ya siku yake ya kuzaliwa (birthday) nchini humo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live