Menu ›
Burudani
Sat, 6 Apr 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Msanii DiamondPlatnumz na Mkali wa Hip Hop YoungLunya wamekuwa wakiweka wazi kuwa wana Collabo lakini hawajawahi kuitoa.
Inawezekana Diamond leo akaenda studio kwa S2kizzy kukamilisha verse yake kwenye wimbo wa Lunya ambao inasemekana jina lake ni 'Haujui'.
Kupitia InstaStory yake Diamond ameweka video ya Lunya akiwa studio na S2kizzy akirekodi na Lunya aliandika swali kwa Diamond "Verse yako iko wapi?" na Diamond akamjibu atakamilisha usiku wa leo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live