Mastaa wa Bongo wamekuwa wakipiga mkwanja na kujiongezea umaarufu kupitia mitandao ya Kijamii.
Ifuatayo ni orodha ya Watanzania 20 wanaoongoza kwa followers wengi Instagram.
01.@diamondplatnumz 16.8M
02.@millardayo 13.5M
03.@wemasepetu 11.1M
04.@hamisamobetto 10.7M
05.@officialshilole 10.19M
06.@wolperstylish 9.86M
07.@harmonize_tz 9.82M
08.@rayvanny 9.66M
09.@officialalikiba 9.45M
10.@officialnandy 9.03M
11.@jokatemwegelo 8.8M
12.@auntyezekiel 8.73M
13.@vanessamdee 8.66M
14.@idrissultan 8.6M
15.@ireneuwoya8 8.07M
16.@ommydimpoz 7.67M
17.@elizabethmichaelofficial 7.6M
18.@mangekimambi_ 7.5M
19.@kajalafrida 7.24M
20.@linahafrica 6.8M
Kwenye orodha hii kuna wanaume 7, Wanawake 13.
Je, sample hii itumike kuwakilisha kwamba wanawake ndio wanaongoza kwa ushawishi mkubwa nchini Tanzania?