Staa wa Bongo Fleva Diamond Platnumz ameshea ujumbe kupitia ukurasa wake wa Instagram kutuma salamu kwa wale waliokuwa wanaichukulia poa Tanzania, Hii ni baada ya wimbo wake " Komasava" kufanya vizuri kote Ulimwenguni.
Staa wa Bongo Fleva Diamond Platnumz ameshea ujumbe kupitia ukurasa wake wa Instagram kutuma salamu kwa wale waliokuwa wanaichukulia poa Tanzania, Hii ni baada ya wimbo wake " Komasava" kufanya vizuri kote Ulimwenguni. Ameandika kuwa; “I Love You more Tanzania ????????, walituonea sana hawa, nikawa nawasoma Tu, …. Asaivi wameingia kwenye mfumo. Tumewashika pabaya….na nitahakikisha tunawapelekea moto mpaka wakiiona hii Bendera popote wawe na heshima,” amesema Diamond Platnumz.