Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Diamond: Nimebaki mjane, naomba faraja yenu

Diamond Zuchuuuu Diamond na Zuchu

Sat, 24 Feb 2024 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Supastaa wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz amesema kuwa kwa sasa anahitaji faraja baada ya kubaki mjane kufuatia kupigwa chini na mpenzi wake, Zuchu.

Hii inatokana na Diamond kuposti video akiwa na mama watoto wake, Zari huku akimuita kuwa ni dada yake, jambo ambalo lilimkera Zuchu na kuamua ktangaza kuvunja rasmi mahusiano yake na Mondi.

Muda mfupi baada ya Zuchu kutangaza kuachana rasmi na Diamond Platnumz, hatimaye Chibu Dangote ametoa tamko lake.

"Basi bwana wadau, ndio kama mlivyosikia matikiti yamenidondoke, hivyo nahitaji sana huruma na ukaribu wenu kipindi hiki cha ujane wangu, ili walau kupata nguvu na faraja kwenye kipindi hiki kigumu," amesema Diamond.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live