Menu ›
Burudani
Tue, 20 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mwanamuziki Diamond Platnumz amefunguka kuwa yeye na mke wake wa hivi sasa walikutana Ofisini, hapo ndipo penzi lao lilipoanzia.
Diamond ameweka wazi jambo hilo wakati akijibu swali lililoulizwa na ukurasa wa Instagram wa Manara TV, kwamba "MKE WAKO ULIYENAYE SASA MLIKUTANA WAPI?"
Inaelezwa kuwa, Diamond Platnumz kwa sasa anatoka kimahaba na msanii wake ambaye anafanya naye kazi kwenye lebo yake ya WCC, Zuchu.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live