Menu ›
Burudani
Wed, 26 Jul 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Baada ya ngoma zilizotoka akiwemo Staa wa muziki @diamondplatnumz kuendelea kufanya vizuri kwenye Platforms mbalimbali #Diamond kupitia ukurasa wake wa Instagram ameandika.
"Ndio maana sipendagi kutoa nyimbo, naonaga bora nibaki zangu busy kwenye Media… au nijifungie zangu ndani na Chuchu."
Diamond anatrend na ngoma zake mpya kwa sasa ikiwemo Shuu na Enjoy aliyoshirikishwa na Jux.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live