Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Diamond, Nandy, Otile na Khaligraph Jones wafunika tuzo za EAEA

WhatsApp Image 2022 08 02 At 4.21.01 PM.jpeg Diamond, Nandy, Otile na Khaligraph Jones wangara tuzo za EAEA

Tue, 2 Aug 2022 Chanzo: dar24.com

Orodha ya washindi wa tuzo za East Africa Entertainment (EAEA), 2022 imetoka na watu maarufu kutoka katika tasnia za burudani kwa ukanda wa Afrika mashariki, wamejinyakulia tuzo hizo kutoka katika vipengele tofauti tofauti.

Mwimbaji mahiri, kutoka katika tasnia ya muziki wa bongo fleva, Diamond Platnumz ametangazwa kuwa mshindi wa tuzo ya msanii bora wa kiume Afrika Mashariki, huku tuzo ya msanii bora wa kike ikichukuliwa na mama Kijacho muimbaji mahiri Nandy.

Rapper Khaligraph Jones kutoka Kenya yeye alijishindia tuzokwenye kipengele cha ‘best male HipHop act’.

Mwimbaji wa RnB Otile Brown alitunukiwa tuzo ya wimbo bora wa kushirikiana Afrika Mashariki ‘best collaboration East Africa’ kupitia collabo yake na msanii Harmonize,

Nyashinski alipata tuzo ya msanii bora wa kiume legendary ‘ best male legendary artiste’.

kwa upande wa Tanzania wengine ni Jux, Romy Jons, Hanscana, S2kizzy, Jay Melody, Mc Gara B, Rosa ree, Wema Sepetu pamoja na mtangazaji Millard Ayo ambaye ameshinda tuzo ya mwanahabari bora wa mwaka.

Ifuatayo ni orodha kamili ya washindi wa tuzo za East Africa Entertainment awards.

Here is the full list of winners at the East Africa Entertainment Awards; Artiste of the year, Kenya – Otile Brown Artiste of the year, Rwanda – Meddy Artiste of the year, Tanzania – Diamond Platnumz Artiste of the year, South Sudan – John Frog Artiste of the year, Uganda – Eddy Kenzo Artiste of the year, Burundi – Sat B Artiste of the year, DRC – Fally Ipupa Best overall Africa hit song – Buga (Kizz Daniel) Best collaboration song International – IYO (Diamond Platnumz) Video of the year, East Africa – Dawa ya Baridi (Mr Seed ft Masauti) Best East Africa artiste in Diaspora – The Ben Lifetime achievement Award – Koffi Olomide Best sports personality – Ferdinand Omanyala Best record label East Africa – WCB Wasafi Best breakthrough gospel act – Irene Robert Best media personality – Millard Ayo Best male inspirational youth icon – Mwalim Churchill Best female inspirational youth icon – Wema Sepetu Best Legendary artiste – Nyashinski Best Live-band performance act- Barnaba Classic Best female legendary artiste – Nazizi Best gospel artiste East Africa – Christina Shusho Best male HipHop artiste – Khaligrpha Jones Best female HipHop artiste – Rosa Ree Outstanding foundation/Community initiative – Octopizzo foundation Best Fashion influencer – Juma Jux Best event host/MC- MC Gara B Best breakthrough male artiste – Jay Melody Best Movie/film star – Celestine Gachuhi (Celina) Best Collaboration song- East Africa – Woman (Otile Brown ft Harmonize) Best Comedian – Eric Omondi Best audio producer – S2Kizzy Best overall global hit song – Peru (Fireboy DML FT Ed Sheeran) Best Male East Africa – Diamond Platnumz Hitsong Of The Year (Sukari) – Zuchu Best Female Artist East Africa – Nandy Best Dj East Africa – Romy Jons Best Hit Music Video Director – Hanscana Best Collaboration Song (Mama Tetema & Maluma ) – Rayvanny

Chanzo: dar24.com