Menu ›
Burudani
Thu, 31 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Supastaa wa Bongo Fleva na CEO wa Lebo ya WCB na Wasafi Media, Diamond Platnumz pamoja na msanii mwenzake Marioo tayari wamewasili Mtwara kwa ajili ya Wasafi Festival.
Supastaa wa Bongo Fleva na CEO wa Lebo ya WCB na Wasafi Media, Diamond Platnumz pamoja na msanii mwenzake Marioo tayari wamewasili Mtwara kwa ajili ya Wasafi Festival. Tamasha hilo litazinduliwa keshokutwa Jumamosi, Septemba 2, 2023 katika Uwanja wa nangwanda Sijaona mkoani Mtwara ambapo mastaa kibao watapanda jukwaani kukiwasha.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live