Menu ›
Burudani
Sat, 16 Apr 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Diamond Platnumz; ni chapa ya muziki nchini Tanzania ambaye baada ya kuwepo kwa tetesi kwamba mama yake, Mama Dangote huwa anampangia mwanamke wa kuoa, hatimaye ametolea ufafanuzi ishu hiyo.
Katika mahojiano na BBC Swahili, Diamond au Chibu anasema; “Kwanza wanamkosea sana mama yangu.
“Kwa umri wote huu (amezaliwa Oktoba 2, 1989 hivyo ana umri wa miaka 32), mama yangu hawezi kunipangia mtu wa kuoa.
“Hayo maisha yalishapita zamani sana ya mzazi kukupangia wewe umuoe nani au usimuoe nani, mama yangu hawezi kunipangia…”
Chanzo: www.tanzaniaweb.live