Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Diamond, Director Kenny Watwaa Tuzo AEAUSA

Kenny Mond Diamond, Director Kenny Watwaa Tuzo AEAUSA

Mon, 27 Dec 2021 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

NYOTA wa muziki kutoka WCB, Diamond Platnumz ameshinda tuzo ya msanii bora wa mwaka barani 2021 barani Afrika kwenye tuzo za African Entertainment Awards USA (AEAUSA) zilizotolewa usiku wa jana, New Jersey nchini Marekani.

Mtanzania mwingine aliyeshinda ni mtayarishaji Director Kenny ambaye ameshinda tuzo ya mtayarishaji bora wa video wa mwaka.

Mkali mwingine kutoka nchini Nigeria Wizkid ameshinda tuzo ya msanii bora wa kiume ambayo ilikuwa inashindaniwa na wasanii kadhaa. Wizkid pia ameshinda kipengele cha wimbo bora wa mwaka ambao ni Essence.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live