Menu ›
Burudani
Mon, 5 Feb 2018
Chanzo: bongo5.com
Mwanamuziki kutoka nchini Kenya, Dela yupo mbioni kuachia albamu yake ya pili yenye nyimbo zipato 15.
Muimbaji huyo anatarajia kutoa albamu hiyo chini ya label ya TaurusMusik ambayo kwa sasa inamsimamia na Lady Jaydee kutoka Bongo.
Taarifa za ujio wa albamu hiyo amezitoa Dela mwenyewe kupitia ukurasa wake wa Instagram kwa kuandika;
What’s up, #Delagates. I come bearing exciting news!
Chanzo: bongo5.com