Menu ›
Burudani
Wed, 31 Jan 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Baada ya kuachia ‘kolabo’ ya ngoma ya ‘Huu mwaka’ mwanamuziki @rayvanny ameweka wazi kuachia filamu ya wimbo huo inayotarajiwa kutoka siku ya kesho januari 31 saa nne kamili asubuhi.
Baada ya kuachia ‘kolabo’ ya ngoma ya ‘Huu mwaka’ mwanamuziki @rayvanny ameweka wazi kuachia filamu ya wimbo huo inayotarajiwa kutoka siku ya kesho januari 31 saa nne kamili asubuhi. Video ya ‘Huu mwaka’ ya @dayoo_tz aliyomshirikisha #Rayvanny mpaka kufikia sasa ina zaidi ya watazamaji milioni moja kupitia mtandao wa #YouTube ikiwa na wiki mbili tuu tangu kuachiwa kwake.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live