Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Davido na Koffi Olomide uko kwa uso (+video)

Video Archive
Mon, 12 Mar 2018 Chanzo: bongo5.com

Mwanamuziki wa Jamhuri wa Kidemokrasi ya Kongo, Koffi Olomide ameingia studio na msanii kutoka Nigeria, Davido.



Mumbaji huyo ambaye kwa sasa anatamba na ngoma ‘Alidor’ ameshare video katika ukurasa wake wa Instagram akielezea ujio wa kolabo yao.

Picha: Davido amtembelea Cassper Nyovest Afrika Kusini, kisa?

Davido kwa sasa anafanya vizuri na kolabo aliyofanya na msanii kutoka, Afrika Kusini Cassper Nyovest, ngoma waliyotoa pamoja inaitwa Check On You.

Chanzo: bongo5.com