Menu ›
Burudani
Mon, 12 Mar 2018
Chanzo: bongo5.com
Mwanamuziki wa Jamhuri wa Kidemokrasi ya Kongo, Koffi Olomide ameingia studio na msanii kutoka Nigeria, Davido.
Mumbaji huyo ambaye kwa sasa anatamba na ngoma ‘Alidor’ ameshare video katika ukurasa wake wa Instagram akielezea ujio wa kolabo yao.
Picha: Davido amtembelea Cassper Nyovest Afrika Kusini, kisa?
Davido kwa sasa anafanya vizuri na kolabo aliyofanya na msanii kutoka, Afrika Kusini Cassper Nyovest, ngoma waliyotoa pamoja inaitwa Check On You.
Chanzo: bongo5.com