Menu ›
Burudani
Fri, 10 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mwimbaji staa wa Nigeria #Davido ametangaza kuwa Album yake ijayo itakuwa ya mwisho na ataachana na Muziki. Davido amefunguka hayo kwenye insta story yake ambapo ameandika
Mwimbaji staa wa Nigeria #Davido ametangaza kuwa Album yake ijayo itakuwa ya mwisho na ataachana na Muziki. Davido amefunguka hayo kwenye insta story yake ambapo ameandika “Nyie nyote mnataka sana niwe nje ya mchezo? Sasa baada ya Album yangu inayofuata, sitafanya Muziki tena. Hivyo mtakuwa na amani.” ameandika Davido.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live