Menu ›
Burudani
Mon, 15 Jan 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mwanamuziki kutoka nchini Nigeria anatarajiwa kutumbuiza katika sherehe za kuelekea Tuzo za Grammy, inayotarajiwa kufanyika Februari 2, nchini Marekani.
Mwanamuziki kutoka nchini Nigeria anatarajiwa kutumbuiza katika sherehe za kuelekea Tuzo za Grammy, inayotarajiwa kufanyika Februari 2, nchini Marekani. Huku wasanii wengine watakaotumbuiza ni Tokischa, na Uncle Waffles, ikumbukwe kuwa Tuzo za Grammy zinatarajia kutolewa Februari 4, katika ukumbi wa Crypto, Los Angeles nchini Marekani.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live