Menu ›
Burudani
Wed, 22 Mar 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Staa wa muziki kutoka Nchini Nigeria Davido ametangaza tarehe itakayotoka album yake mpya iitwayo TIMELSS ambapo ameweka wazi kuwa itatoka Marchi 31,2023.
Staa wa muziki kutoka Nchini Nigeria Davido ametangaza tarehe itakayotoka album yake mpya iitwayo TIMELSS ambapo ameweka wazi kuwa itatoka Marchi 31,2023. Kupitia ukurasa wake wa Instagram amelithibitisha hilo kwa kushare video aliyoisindikiza na Maneno akiwashuruku mashabiki zake kwa upendo ambao wamekuwa wakimuonesha kila siki.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live