Menu ›
Burudani
Fri, 13 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Staa wa Muziki kutoka Nchini Nigeria Davido anatajwa kuwa msanii wa kwanza Afrika kufanikiwa kufikisha wafuasi Milioni 28 katika Mtandao wa Instagram.
Staa wa Muziki kutoka Nchini Nigeria Davido anatajwa kuwa msanii wa kwanza Afrika kufanikiwa kufikisha wafuasi Milioni 28 katika Mtandao wa Instagram. Kibongobongo, Diamond ndiye anayeongoza kwa kuwa na wafuasi Mil. 16.6
Chanzo: www.tanzaniaweb.live