Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Davido ang’ara tuzo za SoundcityMVP

1324 Davido

Mon, 15 Jan 2018 Chanzo: bongo5.com

Sio tu! kuingiza Naira milioni 500 kupitia tamasha lake la muziki la 30 Billion Concert lililofanyika mwaka 2017 kwa kuhusisha nchi kadhaa barani Afrika, Ulaya na Marekani. Vile vile mkali huyo ameikuba kinara kwa kuzoa tuzo tatu za muziki za Soundcity MVP Awards 2017 zilizofanyika nchini Nigeria, usiku wa kuamkia leo maeno ya Eko Convention Centre.



Kupitia ngoma yake ya “IF” iliyotoka mwaka 2017, Davido ameweza kushida tuzo kama ‘Song of the Year’, ‘Video of the Year’ na tuzo ya  ‘African Artist of the Year Award’. Wengine walionyakuwa tuzo za Soundcity MVP Awards 2017 ni  pamoja na Maleek Berry kama ‘Best New Act’, Tiwa Savage ‘Best Female MVP’, Diamond Platnumz ‘Best Male MVP’ na Wakati yuzo ya ‘ Best Collaboration’ ikaenda kwa Sarkodie na Runtown kupitia ngoma ya “Painkiller”.

Orodha ya washindi wa tuzo ya Soundcity MVP Awards 2017;

Best Collaboration: Sarkodie ft. Runtown – Painkiller

Best New Act: Maleek Berry

Digital Artist of the Year: Wizkid

Best Group: Distruction Boyz

Listener’s Choice: Olamide – Wo

Viewer’s Choice: Runtown – Mad Over You

Best Hip Hop: Cassper Nyovest

Best Pop: Maleek Berry

Producer of the Year: Young Jonn

Song of the Year: Davido – IF

Video of the Year: Davido – IF

Best Female MVP: Tiwa Savage

Best Male MVP: Diamond Platnumz

African Artist of the Year: Davido

Chanzo: bongo5.com