Menu ›
Burudani
Thu, 14 Sep 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Baada ya Ushindi wa Video ya Rema na SelenaGomez "Calm Down Remix" kipingele cha "Best Afro-Beat" Kwenye Tuzo za Video Music Awards, Davido amekuwa Miongoni mwa Watu waliompongeza Rema .
Davido Kupitia Ukurasa wake wa Twitter ameeleza kwamba Rema amestahili kushinda Tuzo hiyo pia anamuombea aendelee kufanikiwa zaidi.
"Well deserved! Shine young King! Rema," amesema Davido.
Rema ndio mwanamuziki wa kwanza Barani Afrika kushinda Tuzo kutoka MTV Video Music Awards.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live