Menu ›
Burudani
Wed, 12 Oct 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mikono ya Davido na Kiddominant yampa mafanikio makubwa Mwanamuziki kutokea nchini Marekani, Chris Brown kupitia wimbo wa “Under the Influence”.
Wimbo huo wa “Under the Influence” umeuza nakala milioni 1 nchini Marekani na kutangazwa kufikia hadhi ya Platinum.
Wimbo huo toka kwenye Album yake (Indigo) ya mwaka 2019, uliandikwa na Davido pamoja na Mtayarishaji wa Nigeria, Kiddominant.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live