Menu ›
Burudani
Wed, 21 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mwanamuziki Davido kupitia taasisi yake amefanikiwa kuchangia zaidi ya Shilingi Milioni 500 kwa ajili ya kusaidia watoto yatima.
Davido ametangaza kuwa siku ya kesho ataweka wazi vituo mbalimbali vitakavyofaidika na pesa hizo.
Imekuwa ni kawaida kwa Davido kila mwaka kuchangisha pesa kwaajili ya kusaidia watoto yatima nchini Nigeria.
Mwaka 2023 alichangia zaidi ya Milioni 400 kwenye vituo mbalimbali.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live