Baada ya kufanya show katika Birthday dinner party ya mchezaji Memphis Depay, mkali wa #Afrobeat, Davido amedai kuwa anadhani amechaguwa taaluma isiyofaa baada ya kuona maisha halisi ya wana-soka katika Birthday party hiyo.
#Davido kupitia ukurasa wake wa X (twitter zamani) ame-share ujumbe uliokuwa ukieleza “Footballers Dey enjoy ooooo … be like I chose wrong profession” akimaanisha wachezaji mpira wana-enjoy maisha hivyo anadhani alikosea kuchagua taaluma anayoifanya ambayo ni muziki.
#Davido alihudhuria birthday dinner hiyo ya #Depay iliyokuwa ikifanyika nchini Spain Februari 13 mwaka huu, ambapo mchezaji huyo alikuwa akitimiza miaka 30. .