Hip Hop Staa, Mr Burudani Rapper Darassa amefungua ukurasa mwingine wa maisha ya mapenzi baada ya kumvisha pete ya uchumba mpenzi wake wa muda mrefu ambaye pia ni mzazi mwenza.
Hip Hop Staa, Mr Burudani Rapper Darassa amefungua ukurasa mwingine wa maisha ya mapenzi baada ya kumvisha pete ya uchumba mpenzi wake wa muda mrefu ambaye pia ni mzazi mwenza. Tukio hilo limeshuhudiwa na mtayarishaji wa muziki Abbah Process, Marioo na watu wake wengine wa karibu huku ikielezwa kuwa kumvisha pete hiyo mzazi mwenza huyo ni kiashiria cha kuelekea tukio la ndoa ya wawili hao siku za hivi karibuni.