Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

DULLA MAKABILA: “Mahusiano yalitaka kuharibu Muziki wangu”

1642 Hg 660x400

Mon, 22 Jan 2018 Chanzo: millardayo.com

Msanii wa Muziki wa Singeli Dulla Makabila amefunguka baada ya kuachana na mpenzi wake kwa mara ya pili na kisha wakakutana kwenye msiba wa mama mzazi wa Johari.

Ameeleza kuwa kuna kipindi mapenzi yalikaribia kabisa kumuharibia kazi yake ya muziki hivyo akaamua kuachana naye, ili ajijenge kwenye kazi yake ya muziki na kufanya mipango ya maisha yake.



“Siwezi muita Heri Muziki mpenzi wangu kanidhalilisha redioni” Diva

‘Namuelewa Babu Tale angeweza kuandika zaidi’ Ruby



 

Chanzo: millardayo.com