Menu ›
Burudani
Mon, 6 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Aliyekuwa Dj wa Harmonize "DjSeven" ametupa dongo kwa Boss wake wa zamani baada ya kupitwa na Zuchu kwenye orodha ya wasanii waliotazamwa zaidi mwezi Aprili kwenye mtandao wa YouTube.
Kupitia Instastory yake DjSeven amendika "Mwambieni Influencer wenu wa mapenzi arudi studio ona sasa kazidiwa hadi na yule binti".
DjSeven na Harmonize waliacha kufanya kazi baada ya Harmonize kuanza mahusiano ya kimapenzi na ambaye kwa mujibu wa Dj Seven anadai kuwa alikuwa ni mpenzi wake wa muda mrefu sana.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live