Menu ›
Burudani
Mon, 19 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
DJ maarufu kutokea Afrika Kusini, Dj Maphorisa amewalalamikia DJ’s wa Nigeria kuwa wanaharibu muziki wa Amapiano kwa kuucheza kwa tempo (speed ya muziki) ya juu kitu kinachoondoa uhalisia wa nyimbo hizo.
DJ maarufu kutokea Afrika Kusini, Dj Maphorisa amewalalamikia DJ’s wa Nigeria kuwa wanaharibu muziki wa Amapiano kwa kuucheza kwa tempo (speed ya muziki) ya juu kitu kinachoondoa uhalisia wa nyimbo hizo. Maphorisa anasema DJ’S wa Nigeria wanacheza Amapiano kwa BPM (Beat Per Minute) ya 160 ambayo ni kubwa sana na inaharibu ladha ya muziki huo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live