Menu ›
Burudani
Thu, 9 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Inadaiwa kuwa mwanamuziki kutoka nchini Marekani DJ Khaled amepanga kumshirikisha msanii kutoka Nigeria, Burna Boy kwenye Album yake ijayo ya 'Til Next Time' iliyopangwa kuachiwa mwaka 2024.
Katika mahojiano na Jeff Ihaza wa Rolling Stone, DJKhaled alifichua kuwa hivi karibuni amekuwa akivutiwa na mwanamuziki huyo wa Afro beats, na kuongeza kuwa ana mpango wa kumshirikisha katika album yake mpya.
Mpaka sasa DJ Khaled hajaweka wazi tarehe rasmi ya kuachia album hiyo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live