Menu ›
Burudani
Fri, 10 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Dj maarufu wa Kituo cha Clouds FM, Dj D Ommy ametangazwa kuondoka katika kituo hicho ikiwa ni siku chahche baada ya kutangazwa kuwa anapelekwa katika kipindi cha jioni cha Jahazi.
Uongozi wa Clouds FM kupitia kwa Mkurugenzi wake wa maudhui Seba Maganga umetoa taarifa hii ambayo unaweza kuitazama hapa Chini;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live