Menu ›
Burudani
Sun, 20 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
DJ maarufu bongo @djallybi 'Asumaniii' ameshea comment yake baada ya msanii wa Kenya Willy Paul kusema bila yeye muziki wa Kenya unakufa akiwaambia watoe muziki mzuri waache maneno sababu wamekuwa wa drama sana.
Kwenye taarifa hiyo ya Willy Paul akitamba bila yeye muziki wa Kenya unakufa DJ Ally Bi amejibu kwa kuandika
"Hawa inabidi waachie ngoma kali, waache maneno moob too much drama in Kenyan Music Industry. Maneno wangewaachia wa Mombasa na Lamu huko #We Need Good Music".
Chanzo: www.tanzaniaweb.live