Menu ›
Burudani
Tue, 14 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kula chuma hicho kutoka kwa DJ Ally B 'Asumanii' akisema kuwa hatamchangia mtu kwenye harusi kwa sababu hata yeye hajachangisha michango wakati anamuoa mkewe na mama mtoto wake Mama Simba.
DJ Ally B amefunguka hilo kwa kushea video clip katika page yake ya Instagram akieleza hilo na kuandika "Jamani mnielewe tu, me sijachangisha harusi yangu na Mama Simbaa, hivyo mjue mi simchangii mtu".
Yuko sahihi katika hilo au amepuyanga?
Chanzo: www.tanzaniaweb.live