Tetesi za msanii mpya wa label ya WCB baada ya C.E.O Diamond Platnumz kutangaza kusaini msanii February 2, 2023 zilidondoka kwa hit maker wa Commando Mavokali mpaka pale alipoamua kukanusha kuwa sio yeye aliyesainiwa Wasafi.
Tetesi za msanii mpya wa label ya WCB baada ya C.E.O Diamond Platnumz kutangaza kusaini msanii February 2, 2023 zilidondoka kwa hit maker wa Commando Mavokali mpaka pale alipoamua kukanusha kuwa sio yeye aliyesainiwa Wasafi. Hivi karibu kupitia Twitter ziliibuka tena story kuhusu msanii mpya wa usafini na tweet za watu wengi zikimtaja Temeke boy D Voice kuwa amemwaga wino WCB, uku wengi wakidai ni ukimya wake kwenye muziki na kwenye instagram page yake hajapost chochote toka January 31, 2023.