Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Coyo amwaga sifa kwa Vanessa Mdee, ‘Natamani mke wangu awe kama yeye’

174 20686940 346937422417770 7391418998774038528 N TZW

Thu, 14 Dec 2017 Chanzo: bongo5.com

Msanii wa muziki Bongo, Coyo amemwaga sifa za kutosha kwa Vanessa Mdee kwa kile alichokiita ni msanii mzuri na anayejituma.

Coyo ambaye anafanya vizuri ngoma yake mpya ‘Nyakanyaka’ ameimbia The Playlist, Times Fm kutokana na jinsi Vanessa alivyo anatamani hata mke wake kuwa hivyo.

“Vee anaonekana ni mtu mwenye future ambayo ina mpangilio, kiufupi ni mwanamke ambaye anajituma kuanzia kwenye kazi zake na anajua ni kitu gani anakifanya, kwa hiyo huwa namkubali sana natamani sana hata wangu awe kama yeye lakini ila asiye na skendo kama za Gigy Money” amesema.

Kuhusiana na kumchana Gigy Money Coyo alisema ‘kitu kizuri kina kiki chenyewe siyo utafute kiki, kuna kitu kimekiki, kuna kitu kimetafuta kiki na kuna kitu kimetafutiwa kiki, hivyo ni vitu vitatu tofauti”.

Chanzo: bongo5.com