Menu ›
Burudani
Tue, 28 Mar 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Msanii wa filamu na Mtayarishaji, Chuchu Hans ambaye kwa sasa anatamba na tamthilia yake mpya Jeraha, amefunguka jinsi alivyopata wakati mgumu kumpa baba mtoto wake ili aweze kushiriki kwenye project hiyo.
Chuchu amedai kwa sasa wao wanalea mtoto na zinapotokea kazi basi hushirikiana kwa pamoja kwa kuwa wote wanafanya kazi za aina moja.
Chuchu ameyasema hayo Jumatatu hii wakati akifuturisha watoto pamoja na wadau mbalimbali.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live