Menu ›
Burudani
Wed, 13 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mwanamuziki Chris Brown amewakumbusha watu kumpa maua yake mapema kwani hatotokea Chris Brown mwengine
Kupitia Instastory yake Chris ameandika "Hatokuja kutokea Chris Brown mwengine, msisubiri mpaka nife kulitambua hilo"
Ujumbe huu wa Chris ni muendelezo wa lawama kutoka kwake kwenda kwa wadau wa sanaa Marekani ambapo Chris anadai kutopewa heshima anayostahili lakini pia amekuwa akifanyiwa figisu mbalimbali
Chanzo: www.tanzaniaweb.live