Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Chipukizi anayetabiriwa kuja kuwafunika Vanessa Mdee na Maua Sama (+Video)

Tue, 13 Feb 2018 Chanzo: bongo5.com

Frankie Maston ni msanii mpya kwenye muziki wa Bongo Flava, ambaye anatabiriwa kufika mbali kwa kuwafunika mastaa wengi akiwemo Vanessa Mdee na Maua Sama kutokana na kipaji chake pamoja na sauti yake nzuri ya kuimbia. Lakini pia muimbaji huyo anajihusisha na tasnia ya ubunifu wa mavazi akiwa tayari ameshawavalisha mastaa kibao akiwemo Jokate, Nay Wamitego na wengine.

Frankie Maston ni msanii mpya kwenye muziki wa Bongo Flava, ambaye anatabiriwa kufika mbali kwa kuwafunika mastaa wengi akiwemo Vanessa Mdee na Maua Sama kutokana na kipaji chake pamoja na sauti yake nzuri ya kuimbia. Lakini pia muimbaji huyo anajihusisha na tasnia ya ubunifu wa mavazi akiwa tayari ameshawavalisha mastaa kibao akiwemo Jokate, Nay Wamitego na wengine.

Chanzo: bongo5.com