Kupitia Bongofm mwanamuziki na Dansa Chino Kidd amefunguka kuwa yeye ndiye alimfanyia urahisi Harmonize kurekodi wimbo wake wa kwanza ndani ya studio za Mazuu Record. . Chino anasema kuwa Harmonize alikuwa anaishia nje studio lakini yeye alimpambania mpaka akapata nafasi ya kurekodi nyimbo mbili "Kidonda Changu" na "Aiyola" ambazo ndizo nyimbo zilizomtambulisha kimuziki.
Kupitia Bongofm mwanamuziki na Dansa Chino Kidd amefunguka kuwa yeye ndiye alimfanyia urahisi Harmonize kurekodi wimbo wake wa kwanza ndani ya studio za Mazuu Record. . Chino anasema kuwa Harmonize alikuwa anaishia nje studio lakini yeye alimpambania mpaka akapata nafasi ya kurekodi nyimbo mbili "Kidonda Changu" na "Aiyola" ambazo ndizo nyimbo zilizomtambulisha kimuziki.