Menu ›
Burudani
Sat, 3 Feb 2018
Chanzo: bongo5.com
Msanii wa muziki kutoka kundi la P-Unit, Gabuu amebainisha kuwa msanii wa Hip Hop Bongo, Chid Benz anahitaji nafasi nyingine ya kusaidiwa kuachana na matumizi ya dawa za kulevya. Pia Gabuu amebaisha kuwa nchinin kwao hakuna tatizo kubwa la utumiaji wa dawa hizo.
Msanii wa muziki kutoka kundi la P-Unit, Gabuu amebainisha kuwa msanii wa Hip Hop Bongo, Chid Benz anahitaji nafasi nyingine ya kusaidiwa kuachana na matumizi ya dawa za kulevya. Pia Gabuu amebaisha kuwa nchinin kwao hakuna tatizo kubwa la utumiaji wa dawa hizo.
Chanzo: bongo5.com