Menu ›
Burudani
Wed, 13 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mwanamuziki Chid Benz amesema wasanii wengi aliyowahi kuwasaidia kipindi anauwezo sasahivi hawamsaidii kwa chochote hata kumpigia simu kumjulia hali hawafanyi hivyo
Akizungumza na Manara Tv Chid Benz amesema watu hawana huruma hata kidogo na maisha yake anayoishi sasa ila wanachokifanya ni kuigiza tu mitandaoni kwamba wana huruma naye
"Kuna wasanii wengi nimewasaidia sana hawanipigii hata simu kunijulia hali mfano Mwasiti na Alikiba mimi nimewasaidia ila vipi mbona hawana msaada na mimi," amesema Chid Benz.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live