Menu ›
Burudani
Thu, 12 Jan 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Warembo washindwe wenyewe! Ndivyo unavyoweza kusema, mbishi kutoka Kiumeni, Chege ametangaza kwamba yupo tayari kuuta jiko mwaka huu.
Chege ambaye kwa muda mrefu amekuwa singo, ametupia mchapo huo kwenye Insta Story yake ambapo ameandika hivi:
“Akinipenda kwa dhati na kunisikiliza naoa mwaka huu inshallah.”
Ni nani unafikiri ataolewa na mwamba? Ni suala la kusubiri na kuona.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live