Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Celine Dion: Nitarudi jukwaani hata kwa kutambaa

Celine Dion C Mwanamuziki Celine Dion

Wed, 12 Jun 2024 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Mwanamuziki mkongwe na maarufu duniani kutokea nchini Canada, Celine Dion amesema hataruhusu vita vyake na ugonjwa unaomsumbua wa (Stiff Person Syndrome) kumzuia kufanya maonyesho ya muziki.

Mwanamuziki huyo mwenye umri wa miaka 56, aliyasema hayo kwenye mahojiano na Hoda Kotb na kuapa kwamba ataendelea kufanya maonyesho hata kama atalazimika kutambaa kwenye jukwaa na kuzungumza kwa mikono.

“Nitarudi kwenye kwenye stage, hata ikiwa ni lazima nitambae. Hata ikibidi nizungumze kwa mikono,, nitafanya”.

Mwanamuziki huyo amekuwa akipambana kwa siri na ugonjwa huo unaomsumbua kwa miaka 17, kabla hajaamua kuweka wazi mwaka juzi.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live