Menu ›
Burudani
Sat, 18 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Msanii wa Muziki wa Rap, Sean "Diddy" Combs na Msanii wa R&B, Casandra "Cassie" Ventura wamemalizana Kisheria siku moja baada ya #Cassie kumshtaki #Diddy kwa tuhuma za ubakaji na unyanyasaji wa Kingono
Taarifa ya pamoja ya Wawili hao imesema walifikia makubaliano ya kusuluhisha suala hilo kwa amani siku ya Ijumaa, Novemba 17, 2023 bila kufichua maelezo zaidi
Kesi iliyofunguliwa Novemba 16, 2023, Cassie alidai Diddy alimpiga, kumbaka, kumuingiza katika Matumizi ya Vileo na #DawaZaKulevya na kumhusisha na biashara ya ngono kwa zaidi ya Miaka 10 walipokuwa katika uhusiano wa kimapenzi
Chanzo: www.tanzaniaweb.live