Menu ›
Burudani
Tue, 27 Mar 2018
Chanzo: bongo5.com
Cardi B ameweka wazi siku rasmi ya kuachia albamu yake ya kwanza ambayo ameipa jina la ‘Invasion of Privacy’.
Mrembo huyo ambaye kwa sasa anaonekana kukikaribia kiti cha umalkia wa muziki wa Hip Hop, amethibitisha kupitia mtandao wa Twitter kuwa albamu hiyo itatoka April 6 ya mwaka huu.
“My album “INVASION OF PRIVACY” will be out APRIL 6!
Chanzo: bongo5.com