Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Cardi B aweka wazi siku ya kuachia albamu yake mpya ‘Invasion of Privacy’

5366 DZQW0UPW0AAyQbh TZW

Tue, 27 Mar 2018 Chanzo: bongo5.com

Cardi B ameweka wazi siku rasmi ya kuachia albamu yake ya kwanza ambayo ameipa jina la ‘Invasion of Privacy’.



Mrembo huyo ambaye kwa sasa anaonekana kukikaribia kiti cha umalkia wa muziki wa Hip Hop, amethibitisha kupitia mtandao wa Twitter kuwa albamu hiyo itatoka April 6 ya mwaka huu.

“My album “INVASION OF PRIVACY” will be out APRIL 6!

Chanzo: bongo5.com