Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Cardi B apata dili kupitia ‘Bodak Yellow’

1598 1508259235 29f296c2b3a474e87020aa54f208e646 TZW

Sat, 20 Jan 2018 Chanzo: bongo5.com

Rapper wa kike na mpenzi wa Offset, Cardi B kupata mashavu kupitia ngoma yake ya ‘Bodak Yellow’.



Ngoma ya mwanadada huyo ilivunja rekodi mwaka jana baada ya kukaa kileleni kwa wiki kadhaa katika chati za muziki ikiwemo ya Billboard Hot 100, kwa sasa ngoma hiyo imempa dili mrembo huyo kwani inatarajiwa kusikika katika filamu ya Money Moves.

Kwa muji buwa mtandao wa TMZ, umeripoti kuwa rapper huyo amelipwa zaidi ya dola laki moja na nusu ili ngoma yake hiyo iweze kusikika katika filamu hiyo inayotarajiwa kuanza kutengenezwa mapema mwezi Machi mwaka huu.

Chanzo: bongo5.com