Menu ›
Burudani
Fri, 29 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Baada ya kuzuka tetesi kupitia mitandao ya kijamii kuhusiana na ‘Rapa’ Cardi B kurudiana na aliyekuwa mumewe Offset, hatimaye Cardi amekanusha uvumi huo.
Cardi ameyasema hayo kupitia ukurasa wake wa X (twitter) akieleza kuwa hawezi kurudiana tena na Offset licha ya kusherehekea pamoja katika sikukuu ya 'Krismasi'.
Cardi B na Offset walionekana tena pamoja katika sikukuu hiyp wakiwa na watoto wao, hii ni baada ya kuachana mwezi mmoja uliopita kufuatiwa na usaliti uliokuwa ukiendelea katika ndoa yao.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live